#Local News

MUSYOKA: KENYA INAVUNA UGOMVI WA FRANCOPHONE

Kinara wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka amepuzilia mbali dhana kwamba Kenya ni kitovu cha kibiashara barani Afrika kutokana na kuteuliwa kwa taifa hilo kuwa mwenyeji wa kongamano la Africa Forward Summit, akisema Kenya inajinufaisha na misukosuko inayoyakabili mataifa ya bara Afrika ambayo huzungumza lugha ya Kifaransa maarufu kama Francophone.

Kalonzo amemtaka Rais William Ruto kutoshabikia kongamano hilo, akisema licha ya Kenya kutazamiwa kuwa taifa lenya amani, bado linakaliwa na changamoto za ukiukaji wa haki za kidemokrasia.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *