#Local News

WACHIMBAJI MADINI WAWILI WAFARIKI RACHUONYO KAUNTI YA HOMABAY

Wachimbaji madini wawili wamefariki baada ya shimo la machimbo ya dhahabu kuwaangukia katika eneo la Kowidi Rachuonyo Kusini Homa Bay.

Tukio hilo lilitokea Jumatano, Septemba 9 wakati kuta za shimo hilo zilipoanguka na kuwafunika wachimbaji hao.

Waathiriwa, Samwel Omondi mwenye umri wa miaka 35 na James Raila, walikimbizwa Hospitali ya Kaunti ya Rachuonyo, lakini walifariki kutokana na majeraha.

Imetayarishwa na cyrus Sifuna

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *