#Local News

MBUNGE WA SOTIK AMUOMBA RAIS MSAMAHA KWA KUSEMA WANTAM

Mbunge wa Sotik, Francis Sigei, amemuomba msamaha Rais William Ruto baada ya kauli aliyoitoa katika mkutano wa kisiasa mjini Bomet kutafsiriwa kama kuunga mkono kaulimbiu ya upinzani ya ‘WANTAM’.

Sigei amesema alikusudia kumhimiza Rais Ruto kuhudumu kwa muhula mmoja zaidi, na wala si muhula mmoja pekee kama kauli yake ilivyoweza kueleweka.

Mbunge huyo amesema tayari amemuomba Rais msamaha na kufafanua kuwa matamshi yake yalisababisha mkanganyiko.

Imetayarishwa na Jesca Angeyo

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *