#Local News

KINDIKI AMWONYA GACHAGUA DHIDI YA AZIMA YAKE YA UGAVI WA RASLIMALI ZA TAIFA

Waziri wa usalama na maswala ya ndani ya nchi prof Kithure Kindiki amewaonya wanaoendeleza siasa za kupigia debe mfumo wa ugavi wa raslimali za serikali kuzingatia idadi ya watu maarufu one man one vote one shilling.

Kulingana na Kindiki msimamo na semi za aina hiyo zinaweza kusababaisha mgawanyiko na vurugu miongoni mwa wananchi.

Imetayarishwa na Janice Marete

KINDIKI AMWONYA GACHAGUA DHIDI YA AZIMA YAKE YA UGAVI WA RASLIMALI ZA TAIFA

SENETI KUJADILI MSWADA WA FEDHA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *