#Local News

MUSYOKA AONYA UCHAGUZI WA KIMAPINDUZI 2027

Kinara wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka, ameitaka tume huru ya uchaguzi na mipaka, IEBC kulihakikishia taifa uchaguzi huru na haki mwaka ujao, akionya kuwa uchaguzi huo utakuwa wa kimapinduzi.

Kwenye mahojiano na kituo kimoja cha runinga, Musyoka amesisitiza kuwa IEBC ina fursa ya kujitenga na dhana kwamba makamishna wake ni vibaraka wa Rais William Ruto jinsi ambayo imekuwa ikidaiwa kwenye baadhi ya vyombo vya habari.

Aidha, amewataka vijana kuendelea kujisajili kwa wingi kama wapiga kura.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MUSYOKA AONYA UCHAGUZI WA KIMAPINDUZI 2027

OYUU AWAONYA WANACHAMA WA KNUT

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *