#Local News

WAKAAZI WA RUAI WANAITAKA SERIKALI KUIMARISHA USALAMA ENEO LA MAPOROMOKO YA MAJI

Wakazi wa Ruai wameitaka serikali kuimarisha usalama katika eneo la maporomoko ya maji ya Ruai kufuatia vifo kadhaa vilivyoripotiwa katika eneo hilo.

Wakazi wamesema hali hiyo imezua hofu na wanahitaji hatua za haraka kuhakikisha usalama wa wanaotembelea eneo hilo.

Wameitaka serikali kuchunguza chanzo cha vifo hivyo na kuweka mikakati ya kuzuia matukio zaidi.

Imetayarishwa na Jesca Angeyo

WAKAAZI WA RUAI WANAITAKA SERIKALI KUIMARISHA USALAMA ENEO LA MAPOROMOKO YA MAJI

RAIS ANAENDELEA NA ZIARA YAKE YA SIKU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *