#Local News

AMISI ADAI KUTIMULIWA LINDA MWANANCHI KWA MGOGORO WA CHAMA

Mbunge wa Saboti Caleb Amisi anadai aliondolewa katika makundi ya WhatsApp ya vuguvugu la Linda Mwananchi kufuatia kutokubaliana kuhusu chama kitakachotumika kama chombo cha kisiasa kuelekea uchaguzi wa 2027

Amisi alikuwa akijibu kauli za Mbunge wa Embakasi Mashariki Babu Owino kuhusu vyama mbalimbali vilivyojadiliwa na viongozi wa Linda Mwananchi, akimshukuru Owino kwa kuthibitisha kuwa chama chake cha Political Movement ndicho kilichoanzishwa awali kulibeba vuguvugu hilo

Amisi aidha anadai baadhi ya watu walijiunga baadaye na kuingilia nafasi ya Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna, huku yeye mwenyewe akiondolewa katika makundi ya WhatsApp ya Linda Mwananchi

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

AMISI ADAI KUTIMULIWA LINDA MWANANCHI KWA MGOGORO WA CHAMA

VIONGOZI WA ODM WAAPA KUSIMAMA NA RUTO

AMISI ADAI KUTIMULIWA LINDA MWANANCHI KWA MGOGORO WA CHAMA

RUTO AMKOSOA UHURU BAADA YA UAMUZI WA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *