#Local News

UHURU AKUBALI KUACHA UONGOZI WA JUBILEE BAADA YA UAMUZI WA MAHAKAMA

Rais mstaafu Uhuru Kenyatta ametangaza kuwa ataachia nafasi ya kiongozi wa Chama cha Jubilee kufuatia uamuzi wa Mahakama Kuu unaowazuia marais wastaafu kushikilia nyadhifa za uongozi katika vyama vya kisiasa zaidi ya miezi sita baada ya kuondoka madarakani

Kupitia Katibu wake wa Mawasiliano Kanze Dena, Uhuru amesema alibaki katika uongozi wa Jubilee kutokana na mzozo wa muda mrefu wa ndani ya chama uliokuwa ukihitaji ufafanuzi wa kisheria.

Uhuru amesema anaheshimu uamuzi huo na kuutaja kama hatua inayoimarisha utawala wa sheria na demokrasia.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

UHURU AKUBALI KUACHA UONGOZI WA JUBILEE BAADA YA UAMUZI WA MAHAKAMA

RUTO AMKOSOA UHURU BAADA YA UAMUZI WA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *