#Local News

WANAHARAKATI WAMTAKA IG KANJA KUJIUZULU

Baadhi ya wanaharakati wa kutetea haki za kibinadamu nchini wameandamana nje ya lengo la idara ya kitaifa ya polisi wakimtaka inspekta mkuu wa polisi Daglas Kanja kujiuzulu.

Wanaharakati hao wanansema hatua hiyo ni kutokana na kuongezeka kwa visa vya ukatili wa polisi pamoja na vifo vya washukiwa wakiwa katika vituo vya polisi.

Pia wameitaka serikali kuchukua hatua za haraka kuhakikisha maafisa wanaohusika na ukiukaji wa haki za kibinadamu wanawajibishwa kisheria.

Imetayarishwa na Hilda Ajema

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *