KENYA YAPATA UFADHILI WA DOLA BILIONI 3.6
kenya imepata ufadhili wa dola bilioni 3.6 yaani shilingi bilioni 477 za kenya kutoka marekani zitakazofanikisha ujenzi Express Way kutoka Nairobi hadi Mombasa.
Barabara hiyo itaunganisha mji mkuu wa Nairobi na Mombasa hatua ambayo itaimarisha shughuli ya miji hiyo miwili yenye shughuli nyingi.
Makubaliano baina hya kenya na kampuni ya evestrong capital LLC yalitiwa Saini na mamlaka ya ujenzi wa barabara kuu KENHA hapo jana wakati wa ziara yar ais Ruto nchini marekani.
Uekezaji huo ujtasimamiwa na taasisi za klifedha za marekani kwa ushirikiano na sekta za binafsi nchini.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 











































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































